Stand with Ukraine. Save peace in the world!
Radio Safina
Arusha, 92.6 MHz FM
Radio Safina ni kituo cha Radio kilichoanzishwa kwa madhumuni ya kueneza neno la Mungu kwa njia ya Radio, kituo hiki kinapatikana Jijini Arusha na kinarusha matangazo yake ya kueneza neno la mungu kupitia masafa ya FM 92.60.
Radio Safina reviews
Mungu awabariki watumishi wote wa radio safina, niko mikumi kimasomo lakn naishi arusha nawasikiliza online.
Asante, God Bless.
Eliatosha Luka
06.09.2019
Mungu awabariki sana radio safina ,,,
benson kamengeson
03.09.2019
Nzuri
Mungu azidi kuwapa nguvu ya kusambaza Injili ya Kristo
David Jackson.
30.08.2019
thank You Jesus Christ
Mungu wa mbinguni awainue zaidi katka viwango vya juu zaidi.moj kwa moja nawapata kutoma mwanzaa- buchosa.
Thom G Warawara Tz
19.08.2019
Shalom wapendwa mungu azidi kuwaongoza mzidi kutufungua
Godson Tikoine
17.08.2019
Bwana Yesu asifiwe, Niko Mara shirati rorya nawapata vizuri sana
epimark lubuva
08.08.2019
niko haydom, manyara nasikiliza mubashara kabisa.
Elikunda Tenga
13.06.2019
Niko Mwanza, nawasikia vizuri sana .Mungu aendelee kuwabariki
Mungu awabariki sana nipo manyara
Mungu awabariki sana nipo mwanza ninawapata vizuri kabisa.God of Israel be with you all
Mungu awabariki watumishi wote wa safina radio na azidi kuwafunulia mafundisho ya kumwinua kristo
Kwa uzuri kabisa nawapata moja kwa moja kutoka Mbeya. Mbarikiwe na Aliye Juu.
Veronica Michael
19.02.2019
Mungu awabariki sana
Mungu Kuna wengine walitamani kuwa hapa siku ya leo
Togoleni Yohana
29.11.2018
Umeandika neno Mungu kwa herufi ndogo tafadhali anza kwa herufi kubwa. Mbarikiwe kwa kazi nzuri ya kueneza Injili
jemima from kinshasa dr congo nawapata vizuri sana asante sana
Rodrick from Dar es salaam nawapata vizuri sana