-
Happiness Aziz
01.06.2021
Glory to JESUS 🙌🏾🙏🏽
-
Monica Coombes
31.05.2021
Mungu endelea Kubariki mazibao ya Mungu Kwanza. 🙏🙏🙏😇❤.
-
Listening from Texas Maggie
-
Bwana Yesu asifiwe hapo studio leo nimebarikiwa sana na maombi ya leo na pia umenikumbusha kipindi kile cha kesha na praise power back then.naamin Mungu kwanza online radio itakuwa zaidi
-
Nawapenda sana team Mungu kwanza mu mebalikiwa sana Mungu azidi kukuza kazi yake na nashukuru Mungu kwasababu yenu munazidi kunikiza kiloho nakundi abayo natowa emo Mungu kwanza wanabalikiwa sana more blessings
-
Mungu awabariki na azidi kuwatumia katika kutufikishia habari ya neno la Mungu na mambo 🙏
-
Mungu awabariki Sana watumishi
-
Doreen Sengati-odom
28.05.2021
Mbarikiwe!! Asante Baba kwa kuwa umetusikia maombi yetu na bidii katika mfungo huu. Listening from Canberra Australia.
-
Mwamini Lukosi
26.05.2021
Mungu akawe nasi katika mfungo huu namaombi makali hakika hatatuacha kamwe.....
-
Mungu akaonekane kupitia Radio hii na neno lake likapate kutimizwa.barikiwa sana
-
Laisha Msagati
25.05.2021
Mungu awabariki, Watumishi kwa huduma mzuri.🙏🙏
-
Mbarikiwe sana..MUNGU KWANZA🙏🏿🙏🏿
-
🙏🙏🙏
-
Mungu awabariki Sana Watumishi wa Mungu. Nimemuona Mungu Sana Kupitia Crip zenye ujumbe wa neno Mungu. Huduma yenu na ikawe huduma kubwa na iwafikie watu wengi zaidi duniani. Naiona Mungu kwanza yenye redio na Tv kubwa inayowafikia watu duniani kote. Amen
-
Nawapata vyema kabisa toka Kampala. God Bless
-
Mungu azidi kuwatunza watumishi
-
Mwenyezi Mungu azidi kuikuza huduma hii. Amen
-
🙏🙏🙏
-
Mbarikiwe niko Sweden.
-
Asimwe Emanuel
18.05.2021
Bwana Yesu apewe sifa Asimwe mwanza nabarikiwa na nyimbo uku nikiwa ofcn kwa Yesu ni raha Mungu kwanza🙏🏽
-
Ester Stöcklin
17.05.2021
Glory to God tunawapata vyema toka Uswiss
-
Naanyu Lenarokoito
16.05.2021
Praise God Almighty. Listening from Nairobi kenya.
-
Excellent service Grory to Almighty
-
Glory to God. Be blessed always man of God. This is bridge toward to heaven ......
-
Sifa kwa Yesu Kristo. Amen
-
Furaha Solange
14.05.2021
Amen
-
. Redio maalum yenye uhuishaji wa kiroho na Imani , mungu KWANZA popote ulipo tupo ,Jiji kuu la Kenya Nairobi mubashara
-
Mungu azidi kubariki hii kazi ya Redio yetu ya Mungu kwanza
-
Amen amen
-
Raymond Nchimbi
10.05.2021
Asante baba kwa kutusikia
-
Mungu asifiwe milele
-
Mungu ipandishe kwa viwango vya ajabu redio hii ambayo imekuwa faraja kwa wengi ikiwemo Mimi. Gusa moyo wangu bwana naamini ukinigusa nitakuwa salama.