-
God is good we are thy winner. Shalom shalom
-
Happyness Orio
25.05.2022
Tutashinda katika yeye aliye juu
-
Inanisaidia can't kiimani na kuniunganisha kiimani na Mungu
-
Jina lake Yesu lisifiwe....nawasikiliza kutoka mombasa kenya, leo ndio mara ya kwanza kuwasikiliza through online,nimebarikiwa na somo takatifu, maombi na nyimbo zenu za injili....naomba mniweke kwa maombi kazi/ kibarua yangu, familia yangu na watoto wangu.....Mwenyezi Mungu awazidishie
-
Katherine Metili
13.04.2022
Bila Mungu Kwanza nisingekuwa hapa nilipo, Mtumishi Erick Brighton na Watumishi wote wa Mungu Kwanza, Mungu awabariki kila muingiapo na mtokako. Me 24/7 nasikiliza hii Radio, siwezi sikiliza zingine kabisa..... Nakuwa na Amani all the time especially na maombi ya kila saa kamili, saa nane usiku najikuta tu nimeamka, huwa nasema ni Holy Spirit ananiamsha kuingia kwenye Maombi.... Jamani Mungu awatunze sans
-
🙏
-
Asante Bwana kwa kuwa unaenda kuniinuwa,kunifuta machozi, kuniondolea aibu na kuniinuwa Bwana Amen🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌
-
🙏🙏
-
Belinda Tambwe
11.03.2022
So do not fear, for I am with you; do not be dismayed, for I am your God. I will strengthen you and help you; I will uphold you with my righteous right hand.
-
ritha everest everest
20.02.2022
Nabarikiwa saana Kusikiliza redio hiii…nicipockiliza nahc kuna kitu hakipo sawa…Bwana Yesu apewe sifa…🙏🙏🙏🙏
-
Trésor Assumani
19.02.2022
Hii station inani bariki na kunituliza sana kila ninapojisikia mpweke. nawafuata toka Bukavu DRC
-
Nabariki Sana na mafundisho na Maombi ya mahari hapa
-
Nabarikiwa kila siku kwa ku sikiliza Mungu Kwanza. Naitwa Brother Luc or Lucas from USA
-
Shalom mtumishe tuko pamoja ni mimi Sarah kutoka USA.
-
Dyness Misango
04.01.2022
Mungu ninakutukuza na kukuabudu kwa sana I wewe ni Mungu kwanza . Asante kwa radio hii Mungu ya Mungu Kwanza igaguse Roho za watu wako ulimwengu mzima ahadi yako ikapate kutimia kwanza kila hiyo litapigwa na kila ulimi utakiri kwamba wewe ni Bwana na Mwokozi wa Ulimwengu. Amen
-
Julius Nhelegani
20.12.2021
Excellent Programming and broadcasting only that, its signals requires some adjustments
-
Ahsante Yesu ninabarikiwa na hii redio nikiwa kazini
-
Shalom,tupo pamoja Kaka Erick nabarikiwa sana nanyi Mungu awatunze mno🙏.
-
Regina Alfreddy
30.10.2021
Nikusanyieni wacha Mungu wangu waliofanya agano nami kwa dhabiu. zaburi 50:5
-
Naitwa Sia Samwel, tupo pamoja Mtumishi.
-
Official- daniel - daniella Twins
27.10.2021
Tuko pamoja mtumishi , anita from Canada
-
joram mwampamba
25.10.2021
Shalom watumishi wa MUNGU.. tupo pamoja sana.. Naitwa Joram mwampamba kutoka Kimara korogwe
-
Shalom Mtumishi wa Mungu tupo pamoja nabarikiwa sana namshukuru sana Mungu leo nimepokea uponyaji ubarikiwe sana
-
Shaloom mchungaji ! Tupo pamoja lucy Nipo Tabata segerea 🙏🙏
-
NKURUNZIZA FRANCINE
30.09.2021
Bwana awabariki nyote kundi la mazabau Mungu kwanza, awajaz mafuta, mulindwe usiku na mchana, nashukuru kwa yote munafanyiya mataifa mbalimbali. Nazidi kubarikiwa na kusogeleya Mungu kupitiya radio hiyi. Tukutananiyake mbinguni sote.👏✋✋
-
Amen amen
-
Shaloom kaka Erick, tupo pamoja sana na barikiwa sana na huduma hii ya Mungu,mbarikiwe mno watumishi wa Mungu.
-
Naomba niombee Kaka Erick najua Mungu anaweza
-
Salvina mirambo
22.09.2021
Tupo pamoja mtumishi, nabarikiwa Sana, Salvina kutoka salasala dar es salaam
-
Winnie Respiqius
11.09.2021
Tupo pamoja mtumishi ..winnie wa dodoma