This site uses cookies. By continuing to use this website, you agree to our policies regarding the use of cookies.

Install the free Online Radio Box app for your smartphone and listen to your favorite radio stations online - wherever you are!

×
Like ? Save it to your favorites
×
Like ? Leave your review!
×
×
Stand with Ukraine. Save peace in the world!

Upendo FM

Dar es Salaam, 107.7 MHz FM
Rating: 4.3 Reviews: 57
Upendo FM Radio is a Christian, Gospel and Evangelical Radio operated by the Eastern and Coastal Diocese of the Evangelical Lutheran Church in Tanzania. To lovingly preach the Holy Gospel of Jesus Christ to all and to teach His word to all people.
114 1

Upendo FM reviews

  • 5
    22.06.2019
    Shalom,nawapata vizuri TWEN'ZETU KWA YESU
  • 4
    19.06.2019
    Nawapata sana Upendo fm moja kwa moja nikiwa Taiwan Asia
  • 2
    03.06.2019
    Mko vizuri sana!!!
  • 5
    13.04.2019
    Jina la Bwana lihimidiwe Milele, nabarikiwa na neno la Mungu na Mwl Mwakasege tokea Dodoma. Mbarikiwe sana na utukufu wa Mungu uwe juu ya kazi njema ya kulitangaza neno la Mungu kwa njia ya Radio
  • 5
    15.03.2019
    Mungu aibariki na kuidumisha huduma hii.
  • 5
    11.03.2019
    Mnanibariki sana Mungu awatie nguvu
  • 5
    08.03.2019
    Mnanibariki sana. Mungu azudi kuwapa nguvu ya kutangaza INJILI
  • 4
    02.03.2019
    Nawapata vyema moja kwa moja kutoka Mbeya. Mungu wa Mbinguni awabariki.
  • 4
    18.01.2019
    Umebarikiwa Sana Mwl Dickson, Morogoro Tunakufuatilia
  • 4
    04.01.2019
    Ninajifunza Sana! Mwalimu Dickson Kabigumila Uko Vizuri Mno!Napata Maarifa Kuhusu MAHUSIANO!
  • 1
    04.01.2019
    I real Enjoy the Music
  • 3
    03.12.2018
    Wengi wamepotea katika maneno ya Mungu.7:22 Baba Kutakuwa ...... wa Mungu; katika mahubiri yetu kwa-ke, sisi ni yeye katika dunia hii.
  • 5
    06.09.2018
    keep it up...Mungu awatunze
  • 5
    19.08.2018
    Amen na barikiwa na huduma ya radio yetu kwa huduma ya kumwinua YESU,,,
  • 5
    21.07.2018
    Amen napokea
  • 5
    05.10.2017
    Mungu awabariki sana ,kwa kazi yenu iliyo njema ya kulitangaza neno la Kristo.Mungu azidi kuwainua kwa viwango vingine.
  • 4
    03.09.2017
    Nashukuru Napata Neno La Mungu Nikiwa Nje Ya Tanzania Kwa Lugha Yangu Ya Kiswahili. Najisikia Kuwa Karibu Na Nyumbani. Nimewapa Nyota Nne Kwa Sababu Kuna Wakati Mnakosekana Hewani Na Huduma Kwa Wateja Hawaelezi Ni Sababu Gani Kumekuwa Na Kasoro Hizo. Mungu Awape Karama Ya Kuendeleza Kutoa Huduma Ya Kiroho Kwa Kutumia Teknolojia Ili Kuwakifikia Waumini Popote Walipo Duniani.

Radio contacts

Address: P.O.Box 837 Dar es salaam, TANZANIA.
Phone: +255 22 211 3246
Email: [email protected]

Time in Dar es Salaam: 17:26, 05.05.2024

Install the free Online Radio Box application for your smartphone and listen to your favorite radio stations online - wherever you are!