Katika dunia iliyojaa kelele na taarifa nyingi, Tamu FM imesimama kama sauti ya utulivu, furaha na ubunifu. Kila kipindi kimebeba ujumbe, kila sauti inatia moyo. Hii ni redio inayoweka uhalisia wa maisha ya Mtanzania mbele – nasheed za kiswahili mawaidha ya nyumbani, simulizi za maisha, na mijadala yenye hekima. Hongera kwa timu nzima ya Tamu FM – mnatoa ladha halisi ya maisha!”