This is one of the fastest growing christian stations that is aimed at shedding more light in Kilimanjaro Tanzania and to the World about the word of God.
I thank GOD for this radio..naifurahia na naona nguvu ya Mungu kabisa kupitia mafundisho hayo. 💖
5
Yeusa Lamack29.06.2023
Namshukuru Mungu kwa ajiri ya hii radio imekua nataka kwangu na Familia kwa ujumla ,utukufu kwa Mungu
5
BABUNE Tv16.06.2023
Nabarikiwa sana na vipindi mbalimbali vya Radio hii. Maombi mazito kabisa yanoendeshwa na Watumishi wa Mungu, nyimbo, mafundisho 🔥🔥🔥. Mungu akubariki Mbeba maono wa Radio hii.
5
Nuru Igr15.06.2023
🔥🔥🔥
5
Rehema Shemuhindo06.06.2023
Amen
5
Arnold Kisanga28.05.2023
Muda wowote isikilize kwa ajili ya Utukufu wa Yesu.Amen Radio , Utukufu kwa Yesu.
5
SALOME CHIWANGU27.05.2023
Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu DAMU ya Yesu iwalinde Kwa ajili ya kazi yake
4
Charline Mushy27.05.2023
Ubarikiwe sana🙏
5
Elesia Gama27.05.2023
Mungu azidi kuinua kazi yake, AMEN Radio inasaidia sana kuinua watu Kirkhope hasa ujasiri wa kuweza kujisimamia mwenyewe kimaombi na kushindana na hila za shetani kwenye maisha yetu ya kila siku, Mungu akubariki sana Mtumishi wake Anold Kisanga una moyo wa kipekee sana na unatubeba sana. Mungu akutunze na kukufunika kwa damu yake na lile hitaji lako kubwa akutimizie katika jina la Yesu.