This site uses cookies. By continuing to use this website, you agree to our policies regarding the use of cookies.
Video Player is loading.
Current Time 0:00
Duration -:-
Loaded: 0%
Stream Type LIVE
Remaining Time -:-
1x

Install the free Online Radio Box app for your smartphone and listen to your favorite radio stations online - wherever you are!

×
×
Stand with Ukraine. Save peace in the world!

Clouds FM

Dar es Salaam, 88.5 MHz FM
Rating: 4.4 Reviews: 144
Clouds FM is a broadcast radio station in Dar es Salaam, Tanzania, providing Community News, Informaiton and Entertainment.
392 16

Clouds FM reviews

  • 5
    10.12.2021
    Aidan kibwana
  • 5
    28.09.2021
    Izzo4real
  • 4
    22.07.2021
    Amri Kiemba ni mchambuzi mjuzi wa mpira.
  • 3
    29.04.2021
    Kutoka mapogolo chunya naitwa ZYOLA mwayinga na kupata fresh sana kaka mkubwa
  • 5
    13.04.2021
    Your excellent
  • 5
    17.02.2021
    Chacha Maisori hapa, naisikiliza Power breakfast kutoka Cox's Bazar Bangladesh. Isune ameeleza vizuri sana ndoa za Kikurya, kimsingi yuko sahihi kabisa na ameeleza kwa usahihi mkubwa. Pili niwape big up kwa kutoa fursa ya hili kuwekwa wazi kwa ufasaha wake. Wengi huwa wanajudge vibaya hizi mila hususani ndoa pasipo kuelewa mantiki ya msingi wake. Mwisho niwapongeze sana kwa kuibua hii mada. Ni waombe siku nyingine muite Isuna au Mkurya mwingine aelezee swala la watoto kwa maana ya nini kinafanyika pale mwanamke au mwanaume anapokosa uwezo wa kupata watoto. Hasa aelezee mila na taratibu za Mwanaume kuoa halafu asipate watoto zipo mila za wakurya nizanoelekeza nini kifanyike ilimeadi jina la huyu mwanaume au yule mwanamke lisipotee.
  • 5
    08.02.2021
    nasikiliza kutoka songea online
  • 5
    25.01.2021
    Nko Tabata Kinyerezi hapa naenjoy Mambo ya Clouds Fm, Ila namuwaza Sana Ruge Mitahaba.
  • 4
    22.01.2021
    poleni na kazi clouds team, songea hatuwapati kalibia mwezi sasa msaada please
  • 4
    19.01.2021
    Msaada Belgium, hatuwapati toka asubuhi mpaka usiku tangazo la need salt. Tafadhali.
  • 2
    12.01.2021
    Listening migori kenya
  • 5
    29.12.2020
    Nawapata sawa sawa hapa 254, Nairobi.
  • 5
    16.12.2020
    Kiboss boss naskiliza clouds sports xtra online
  • 5
    09.12.2020
    KZAZII THANA PANDE ZA MBEYA
  • 5
    29.11.2020
    mafinga moja nawapata vzr nikiwa na bando langu la tigo
  • 5
    26.10.2020
    Mbna jmn hatuendelez mnaishia kweny matangaz?
  • 2
    17.10.2020
    Naskiza online kutoka 254 nawakubali sana. top kabisa
  • 3
    11.10.2020
    all the way from mara TANZANIA
  • 5
    02.10.2020
    One way kutoka kigoma nawapata vzuri sana
  • 5
    04.09.2020
    Weken mambo sawa huk simiyu hatuwapati
  • 5
    02.09.2020
    Good but no voice
  • 5
    13.08.2020
    Baadhi ya majina yaliopotea
  • 3
    05.08.2020
    Safi
  • 5
    17.07.2020
    i like it
  • 5
    14.07.2020
    clouds my number one family❤💪
  • 5
    11.07.2020
    Nawapta vizuli xana
  • 5
    25.06.2020
    Best radio station in Tanzania
  • 5
    24.06.2020
    Super
  • 5
    09.06.2020
    Arusha njiro contena nawapata murua kabisa
  • 5
    04.06.2020
    Nawapta vzri sana kutoka mbinga ruvuma
  • 4
    26.05.2020
    kuna mambo yanayohitaji uvumilivu lakini sio mapenzi, tena yanauma kuliko hata maumivu ya sindano sindano, mke wa mtu ama mume wa mtu hana lebo inayomtambulisha chamsingi chunguza sana kabla hujaanzisha mahusianio mapya;
  • 3
    20.05.2020
    Clouds fm nawapata vyema kutokea rwanda nawapata vizuri power breakfast
  • 5
    08.05.2020
    Nawapata vizuri kabisa kutokea mkoa wa Lindi wilaya ya Kilwa Masoko. Mtandao umetulia
  • 5
    01.05.2020
    holaaah kutaka RWANDA ni kelvin nawapata fresh kabisa bila chenga online xxl mmetisha kinomanoma
  • 4
    29.04.2020
    guda sana mazee
  • 4
    20.04.2020
    Masoud usikatae ulishawahi sema hivyo.. Kwamba hakuna Mwanamme mwenye mwanamke mmoja..
  • 4
    20.04.2020
    Ya kijanja zaid
  • 5
    07.04.2020
    Mmmh mm ndio naanza kipindi eti by TZB BOY
  • 5
    04.04.2020
    Nawapata vizuri sana hapa Nairobi.Mie ni mwanahabari.Mnazungumzia jinsi waathiriwa wa virusi vya Korona wanavyonyanyapaliwa! Charles Otunga,KBC NRB.
  • 4
    03.04.2020
    Nawapata kama fureeeeeeeeeee,

Radio contacts

Address: P.O. Box 31513, Dar es Salaam, Tanzania.
Phone: +255 222 781 445
Site:
Email: info@cloudsmedia.co.tz
Facebook: @cloudsfmradio

Time in Dar es Salaam: 00:23, 02.17.2025

Install the free Online Radio Box application for your smartphone and listen to your favorite radio stations online - wherever you are!