Ce site Web utilise des cookies. En continuant à utiliser ce site, vous acceptez notre politique relative à l’utilisation des cookies.
Installez l'application mobile gratuite Online Radio Box pour votre téléphone intelligent et d'écouter vos stations de radio préférées en ligne où que vous soyez!
BARIKIWA MBEBA MAONO HUDUMA HII NI NZRI SANA, TUNAFARIJIKA, TUNAPATA KUPONYWA, NA KESHO ILIYO NJEMA
5
Janet Ndeanasia Mbene25.08.2025
Namshukuru Mungu kwa huduma hii. Binafsi nimepata neema ya kupata mafundisho ya mambo mbalimbali kuhusu maisha na jinsi ya kuishi sawasawa na mapenzi ya Mungu. kuepuka changamoto na kumtegemea Mungu kwa kila jambo. Huduma imenirudisha kwenye nstari. Namrudishia BWANA heshima, Sifa, Utukufu na adhama kwa sababu anastahili.Mungu ambariki mbeba maono na wote mnaofanikisha hii huduma.Kwa Jina la Yesu. Janet Mbene Tanzania
5
Yolanda Mbatiya13.06.2025
Ahsante Mungu Kwa Habari njema ulioachilia kwenye maombi ya usiku wa leo
5
Jacqueline Idd30.05.2025
Asante MUNGU kwa huduma hii ya kipekee. Redio ya MUNGU kwanza imenibariki na inaendelea kunibariki sana kwa mafundisho, nyimbo na maombi yanayogusa moyo. Endeleeni kumtukuza MUNGU na kuwafikia watu wengi zaidi. Neema na Baraka nyingi kwa timu yote. Ameen.
4
Elizabeth Thomas19.05.2025
naomba wimbo huu urudiwe "Hapa nilipo leo ni nguvu yako" naomba kujua jina la muimbaji wa wimbo huu.
4
Dismas Matovelo15.04.2025
Mungu wetu anakaa ktk Shukrani. Asante kwa Neno. Hakika nimepata "mawe" yenye thamani sana.
5
Amos Emmanuel11.03.2025
Tuko pamoja mtumishi mimi na familia yangu kutoka Tabata
4
Steph Kimwesh10.01.2025
Fair enough to rechout for the gospel evangelism mungu azidi kuwainuwa watumishi weke kupitia hi radio ya mungu kwanza,.live & direct listing from Dammam district saudi arabian through online radio box
5
Joyce Mmary11.07.2024
Mungu ni mwema,Hongera kwa mbeba maono,Mungu aendelee kukutunza kwa kazi yake.
Installez l'application gratuite Online Radio Box pour votre téléphone intelligent et d'écouter vos stations de radio préférées en ligne où que vous soyez!
Peut-être est-ce un problème temporaire de station.
Vous pouvez laisser votre adresse e-mail et nous vous préviendrons lorsque la station diffusera de nouveau en ligne :
Ou écoutez les autres stations d’Tanzanie