Nawapata online kutoka Chennai, India.... simba .... Mdomo ulimponza Kichwa
5
Rass Peter16.08.2023
Kokote nilipo efm iko pembeni kutoka kimara korogwe mpaka mlimba morogoro nawapataa
4
Twalib assaa Assaa26.07.2023
Nawapata vzr
5
Augustino Mtanke11.07.2023
bora sanaaaaa
4
Daniel Nyamang'arure11.07.2023
Sis Veronicah 💥💎
5
Denisi Marteen16.06.2023
EFM
5
Alexdeniswanjara Magoti16.06.2023
tupo pamoja all the way from dar es salaam
5
Aloyce Kulola02.06.2023
Kutoka Udindivu Mapinga-Bagamoyo nawapata vilivyo redio pendwa kwa watanzania wote
5
Mario Elias30.05.2023
MPOVIZURI MAKANDAWANGUEFM NAWAKUBALI KUTOKA NJOMBE NJOENI NA HUKU MFUNGUE FREQUENCE
5
Pyramid Hotel03.05.2023
Sema Majizzo unawanyoosha wale majamaaa;;;. This radio is not biased kama Yale maredio ya kijinga kama Wasafi kiredio hakitoi fursa Kwa Vijana msanii anahojiwa Tu wa Wasafi na wanapiga nyimbo zao Tu....Big up EFM DSM!; Listen from Scotland
5
evance kihundwa14.04.2023
Nawapata vyema kabisa all the way from Odense denmark tuko pamoja evance hapa
3
Fidelis Peter11.04.2023
Kipindi namba moja bora cha michezo Tz
5
Hugho Njau26.10.2022
Inasikika vyema
4
assady chingwalu08.07.2022
inasikika vizur haikwami kwami
5
Alois Ngonyani07.03.2022
Nawapata live kutoka Faro Portugal
5
JOE NESTORY05.10.2021
Nipigie ngoma ya mahaba by romeoh
5
Baila tz04.10.2021
Nipigie Mahaba kutoka kwa romeo .... Nianza wiki salama
1
Miwago Tz30.06.2021
Safi efm,ninaitaji kuwatumia nyimbo yangu nitumie vipi
4
User17.05.2021
I ove Efm redio
5
Thomas Gidion16.05.2021
YOU KILL IT....... I LIKE OLD SCHOOL KINYAMAAAA
5
Abdull'rahman Omar15.03.2021
Mtwara maeneo ya mtambaswala hakuna radio hata moja inayosikika jitahidini kufika huku
5
Ally Athumani24.02.2021
Dodoma mnatukosesha mambo mazur tatueni tatizo hatuwapat
5
mbeya boy wa sk crew11.01.2021
BANGO KUBWA PANDE ZA MBEYA
5
Hassan Mohamed05.10.2020
Ok nawapata uzurii fido na samio nikiwa mbeya mabatini
5
Hakim Abdou23.09.2020
Naipenda sana hii radio na naona ni radio namba moja africa na naisikiliza kutoka visiwa vya comoro
5
Johaiven Thadeo23.09.2020
Am johaiven thadeo from Capetown south nawapata vilivyo efm huku ni zaidi ya kwikwi
2
Luwi Ally Ismail18.09.2020
✊🏾💕
5
Martine James16.09.2020
Naitwa Martine James nawasikiliza kutokea bukoba mjini hapa kagera tunasubili muwashe tu hapa kagera
5
Abdu Bonge16.09.2020
Nawapata vizuri kabsaa kutoka Kilimanjaro ila fanyeni mpango muanze kuskika mikoni tunakosa uhondo