Eti wimbo kuhusu chipsi yai uliopigwa saa 4.55pm unaitwaje???
5
ndyabulu kayugwa06.04.2019
Uongozi na watumishi wote wa EFM nawapongeza kwa kusikika vyema huku Lilongwe kuliko hata Radio zingine zenye majina makubwa!!! BigUp sn!!!
5
M SQUARE TV28.03.2019
sisi wabongo tumezoea kupanga kikosi ambacho tunakitaka sisi apo watu wanataka amunike aondoke tatizo ety hajawaita wakina ajibu wakina hd yan tumezoea kuwaona wakina ajibu kwenye kila mechi za taifa starz but tunasahau kuwa kikosi anapanga kocha amunike ni kocha mzuri sana aendelee kupewa nafasi na kuaminika.
3
Sylvester Hamsony23.03.2019
Tunu hassani nawapata vzr pamoja na mwanaidi sulemani mpaka tamati.