I can't imagine am streaming clouds live from Japan muda huu saa moja na dakika 41 usiku daaah XXL on air maniggeer praaaaap very clear and loud Kelvin Alfayo a.k.a Kevooo
2
Lebaati Kipuyo01.04.2019
Rekebisha hili neno Informaiton
4
Anthony Tesha24.03.2019
Inasikika vizuri
4
Gabriel Machotta07.03.2019
Natoa salaam nyingi za rambi rambi Kwa kupotelewa na Mutahaba.Ameacha mfano wa kuiga na kila kijana Kwa mzee ncini mwetu. Mungu amweke mahala pema peponi Amin. Cloud inasikika vizuuri sana hapa Norway Hammerfest Kaskazini kabisa ya dunia.
5
Samwel Mlimbila01.03.2019
Poleni sana wanafamilia wote wa Clouds Media Group,Familia ya Prof.Mutahaba na watanzania wote kwa msiba huu mzito...Binadamu aliyezaliwa na mwanamke dunian siku zake si nyingi...Muongoza njia#Tutaonana badae#
5
Jackson Joachim28.02.2019
POLENI SANA FAMILIA NZIMA YA CLOUDS MEDIA KWA MSIBA HUU MZITO. MUNGU AWE FARAJA KWENU
4
Doreen Masimba28.02.2019
Poleni sana wanafamilia wa Clouds Media Group, Familia ya Prof. Mutahaba. Hakika ni kipindi kigumu sana sana. Ni vigumu kuamini kwani ametutendea mambo mengi mno. Hakika shujaa/mpiganaji ametutoka #Tutaonana baadae#
5
GABRIEL ERNEST MSACKY28.02.2019
Hakika ni kipindi kigumu kwa familia ya clouds medium group #JASIRI MUONGOZA NJIA, R I P
1
Maggie Samson27.02.2019
Very sorry for the death of a school mate, my deepest condolences go to the Family of Mr. & Mrs. Mutahaba, Koku, Mbaki Kemmy...Ex Arusha School students. RIP Ruge
4
Yassin Billo27.02.2019
Poleni sana kwa msiba mzito CMG
5
Johaiven Thadeo25.02.2019
Johaiven thadeo from cape Town south Africa.. Mnaifanya Siku yangu inakuwa poa nkiwa tune enderea kutupa mavitu ya nguvu
5
Ommy Ayubu24.02.2019
The best
5
Diana Patrick20.02.2019
Npo arusha naenda nyumban
5
joachim minja18.02.2019
Safi sana
4
Kajanja Brand04.02.2019
Mko juuu
5
Sauda Zuberi01.02.2019
Safi sana
5
Christian Mzee21.01.2019
mko vizuri
4
Evaristi Kavishei19.01.2019
mko vizuri, endeleeni kuwa wabunifu
5
deo mubashara18.01.2019
Clouse bana naipenga hata kuliko pesa,
4
Cathbert Angelo02.01.2019
big up....
5
Trump Marcus06.12.2018
Hello from Hungary! The CloudsFM is the best radio of Africa! I listen everyday :)
5
Brown D-DAY03.12.2018
yaani Nina [penda kipindi chenu naitwa Yese Lambert Ak Brown nipo USA. Amercan
4
Nicholaus Maseke15.11.2018
Clouds fm online is getting more fire here in Moshi, Keep on pushing harder guys!
5
Charles Wilson01.11.2018
am listening you online from Mafia Island
5
Rio Macmillan17.10.2018
Moshi ni dk 45
5
emma masawe05.09.2018
Count down story nazipata kwa uzuli kabisa toka border
5
Erick Gerald29.08.2018
Clouds mnafanya vizuri sana
5
Lloyface Slashi15.03.2018
Naona kW sasa kwenye bp kwenye hili game inaipotezea
5
Kizito Ukweli06.02.2018
bruh milard n sis mina nawapata baba from turkey big love t u guys