This site uses cookies. By continuing to use this website, you agree to our policies regarding the use of cookies.

Install the free Online Radio Box app for your smartphone and listen to your favorite radio stations online - wherever you are!

×
Like ? Save it to your favorites
×
Like ? Leave your review!
×
×
Stand with Ukraine. Save peace in the world!

Clouds FM

Dar es Salaam, 88.5 MHz FM
Rating: 4.4 Reviews: 136
Clouds FM is a broadcast radio station in Dar es Salaam, Tanzania, providing Community News, Informaiton and Entertainment.
353 33

Clouds FM reviews

  • 5
    09.07.2023
    From university of iringa nikiwa najiandaa na UE huku namsubr mumy baby kwenye top twenty 🤩❤
  • 4
    04.07.2023
    all the way from biggest library in Central and East Africa UDSM library, nawasikiliza live huku nazima moto mdogomdogo.
  • 4
    25.06.2023
    nawasikiliza kutokea serengeti national park kleins gate
  • 4
    15.06.2023
    Woooooooooza, Cloud FM, Dunia nzima kila kona ya Dunia nawapata, kutoka kwa Mpalange tupo pamoja
  • 3
    10.05.2023
    Tunawapata kutoka Njombe
  • 5
    20.04.2023
    Tunawapata kwa uzuri sana, kutoka Arusha Tanzania
  • 2
    31.03.2023
    chekini kuna tatizo mahali maana mtandao hauko stable kabisa.... matangazo yanakatakata sana....
  • 5
    11.02.2023
    Noma
  • 5
    18.08.2022
    Good
  • 5
    29.07.2022
    nasikiliza nikiwa dodoma
  • 5
    11.01.2022
    safiii safi sana
  • 5
    13.12.2021
    I like it
  • 5
    10.12.2021
    Aidan kibwana
  • 5
    28.09.2021
    Izzo4real
  • 4
    22.07.2021
    Amri Kiemba ni mchambuzi mjuzi wa mpira.
  • 3
    29.04.2021
    Kutoka mapogolo chunya naitwa ZYOLA mwayinga na kupata fresh sana kaka mkubwa
  • 5
    13.04.2021
    Your excellent
  • 5
    17.02.2021
    Chacha Maisori hapa, naisikiliza Power breakfast kutoka Cox's Bazar Bangladesh. Isune ameeleza vizuri sana ndoa za Kikurya, kimsingi yuko sahihi kabisa na ameeleza kwa usahihi mkubwa. Pili niwape big up kwa kutoa fursa ya hili kuwekwa wazi kwa ufasaha wake. Wengi huwa wanajudge vibaya hizi mila hususani ndoa pasipo kuelewa mantiki ya msingi wake. Mwisho niwapongeze sana kwa kuibua hii mada. Ni waombe siku nyingine muite Isuna au Mkurya mwingine aelezee swala la watoto kwa maana ya nini kinafanyika pale mwanamke au mwanaume anapokosa uwezo wa kupata watoto. Hasa aelezee mila na taratibu za Mwanaume kuoa halafu asipate watoto zipo mila za wakurya nizanoelekeza nini kifanyike ilimeadi jina la huyu mwanaume au yule mwanamke lisipotee.
  • 5
    08.02.2021
    nasikiliza kutoka songea online
  • 5
    25.01.2021
    Nko Tabata Kinyerezi hapa naenjoy Mambo ya Clouds Fm, Ila namuwaza Sana Ruge Mitahaba.

Radio contacts

Address: P.O. Box 31513, Dar es Salaam, Tanzania.
Phone: +255 222 781 445
Site:
Email: [email protected]
Facebook: @cloudsfmradio

Time in Dar es Salaam: 06:28, 05.07.2024

Install the free Online Radio Box application for your smartphone and listen to your favorite radio stations online - wherever you are!