-
Charles Otunga
04.04.2020
Nawapata vizuri sana hapa Nairobi.Mie ni mwanahabari.Mnazungumzia jinsi waathiriwa wa virusi vya Korona wanavyonyanyapaliwa! Charles Otunga,KBC NRB.
-
Samuel Severua
03.04.2020
Nawapata kama fureeeeeeeeeee,
-
the peoples station
-
JACKSON MWAFUTE
11.02.2020
My all time favorite
-
Abubakar mfaume
10.02.2020
Nawapata nikitokea ghetto +27
-
Suleiman Mohamed
05.02.2020
I enjoy listening to Clouds FM. Keep it up
-
RUVUMA CLOUDS NI MDA SASA HAISIKIKI VIPI KUNA SHIDA GANI
-
Tumpale Luhanga
27.01.2020
Conveniently nasikiliza nikiwa kazini, night shift ndani ya Dar. Mko vizuri sana
-
Angelina Lusala
29.12.2019
Jamani clouds fm kuna nini mbona nje ya nji haipatikani hii sasa week nzima. Can anyone help??
-
Hildegarde Cyril
29.12.2019
Hello, huwasikiliza kila siku kutokea Sweden, leo hamko hewani tokea alfajiri why, redio zingine zote ziko hewani isipokuwa nyie, rekebisheni, siku hizi redio yenu haisikiki huku, rekebisheni, mbona zingine ziinasikika??
-
Nawapata vizuri sana
-
Streaming live from 254. Much love.
-
Bahati Wakulichombe
10.12.2019
Tunawapata vizur Kutoka Abudhabi
-
Niko Pune India , nawapata vizuri sana
-
Morogoro clouds FM hampatikan kabisa week ya pili hii
-
Dr Nicky Sarapion
02.12.2019
Number one super station
-
Clouds FM mkoa wa pwani haipo hewani msahada wenu plz
-
richard Ndegese
15.11.2019
Mko vizuri sana
-
Tanzania my country
01.11.2019
Good
-
Tuko pamoja. Very clear channel
-
LIstening to Kenedy The Remedy
-
Pande za Iringa Manispaa hapa tunawapata mubashara kwa size yetu kinyalunyalu nyaluland ukiji-mix tu tunakulisha mbwa hahahaa! TULIPAMWINGA CLOUDS FM! RUGE MUTAHABA JASIRI MUONGOZA NJIA THE LEGEND LIVES ON...
-
godfrey mwichaha
11.09.2019
Pamoja sana Clouds fm radio ya watu tunawapata kinoma noma hapa Kimara Mwisho Mnarani by Mwichaha jr.
-
Chotero Joseph
09.09.2019
Hi studio, hakika clouds Fm ni radio ya watu,tunawapata vzr pande za dodoma.Chotero Joseph
-
Tuko pamoja jahaaaaaziii
-
Kenya locked
-
Live and clear from Thika Kenya. Shabiki namba moja wa wekundu wa msimbazi.
-
jahaziiiiiiiiiiiiiiiii.......Naw apata vizuri tokea MNH mloganzila twende pamoja hadi mida ya saa 1
-
Alfredy Stephen Kihiyo
21.08.2019
pande a Kilindi Tanga naipata barabara cloud fm
-
Great voice heard from London UK
-
one love
-
Radio ya watu kwa ajili ya watu, CMG kitu kimoja!!!!!!!
-
Automass Garage
26.07.2019
sauti hamna!!!!!
-
sauti ime poteaya niko nairobi
-
fredrick killagane
12.07.2019
tuned from Greater Noida India. Clouds mnatishaaaaa! ,mnapasua anga
-
Mtabak kuwa juu clouds chiiiiiiiiiiiiiiis!
-
good performance
-
Theboy Classic
25.06.2019
madde umetisha sana big up yourself
-
Majina ya music hamtaji jaman marafiki zetu huku UK wanauliza song hizo.
-
Safi sana
-
Tupo pamoja 5 juu ya 5
-
clouse bana, sijui ninani kalopoka UMANYILE, kipanya UMANYILE VIP, mi huku sina mbavu. ahhhhaaaaaaaa
-
January Rowland
20.05.2019
❤️
-
I can't imagine am streaming clouds live from Japan muda huu saa moja na dakika 41 usiku daaah XXL on air maniggeer praaaaap very clear and loud Kelvin Alfayo a.k.a Kevooo
-
Lebaati Kipuyo
01.04.2019
Rekebisha hili neno Informaiton
-
Inasikika vizuri
-
Gabriel Machotta
07.03.2019
Natoa salaam nyingi za rambi rambi Kwa kupotelewa na Mutahaba.Ameacha mfano wa kuiga na kila kijana Kwa mzee ncini mwetu. Mungu amweke mahala pema peponi Amin. Cloud inasikika vizuuri sana hapa Norway Hammerfest Kaskazini kabisa ya dunia.
-
Samwel Mlimbila
01.03.2019
Poleni sana wanafamilia wote wa Clouds Media Group,Familia ya Prof.Mutahaba na watanzania wote kwa msiba huu mzito...Binadamu aliyezaliwa na mwanamke dunian siku zake si nyingi...Muongoza njia#Tutaonana badae#
-
Jackson Joachim
28.02.2019
POLENI SANA FAMILIA NZIMA YA CLOUDS MEDIA KWA MSIBA HUU MZITO. MUNGU AWE FARAJA KWENU
-
Doreen Masimba
28.02.2019
Poleni sana wanafamilia wa Clouds Media Group, Familia ya Prof. Mutahaba. Hakika ni kipindi kigumu sana sana. Ni vigumu kuamini kwani ametutendea mambo mengi mno. Hakika shujaa/mpiganaji ametutoka #Tutaonana baadae#
-
GABRIEL ERNEST MSACKY
28.02.2019
Hakika ni kipindi kigumu kwa familia ya clouds medium group #JASIRI MUONGOZA NJIA, R I P
-
Very sorry for the death of a school mate, my deepest condolences go to the Family of Mr. & Mrs. Mutahaba, Koku, Mbaki Kemmy...Ex Arusha School students. RIP Ruge
-
Poleni sana kwa msiba mzito CMG
-
Johaiven Thadeo
25.02.2019
Johaiven thadeo from cape Town south Africa.. Mnaifanya Siku yangu inakuwa poa nkiwa tune enderea kutupa mavitu ya nguvu
-
The best
-
Npo arusha naenda nyumban
-
Safi sana
-
Mko juuu
-
Safi sana
-
Christian Mzee
21.01.2019
mko vizuri
-
Evaristi Kavishei
19.01.2019
mko vizuri, endeleeni kuwa wabunifu
-
Clouse bana naipenga hata kuliko pesa,
-
Cathbert Angelo
02.01.2019
big up....
-
Hello from Hungary! The CloudsFM is the best radio of Africa! I listen everyday :)
-
yaani Nina [penda kipindi chenu naitwa Yese Lambert Ak Brown nipo USA. Amercan
-
Nicholaus Maseke
15.11.2018
Clouds fm online is getting more fire here in Moshi, Keep on pushing harder guys!
-
Charles Wilson
01.11.2018
am listening you online from Mafia Island
-
Moshi ni dk 45
-
Count down story nazipata kwa uzuli kabisa toka border
-
Clouds mnafanya vizuri sana