-
Emmanuel Hagala
22.01.2021
poleni na kazi clouds team, songea hatuwapati kalibia mwezi sasa msaada please
-
Msaada Belgium, hatuwapati toka asubuhi mpaka usiku tangazo la need salt. Tafadhali.
-
Kellvine James
12.01.2021
Listening migori kenya
-
Nawapata sawa sawa hapa 254, Nairobi.
-
Kiboss boss naskiliza clouds sports xtra online
-
mbeya boy wa sk crew
09.12.2020
KZAZII THANA PANDE ZA MBEYA
-
Staford Jr. Staford
29.11.2020
mafinga moja nawapata vzr nikiwa na bando langu la tigo
-
Silvesta Massawe
26.10.2020
Mbna jmn hatuendelez mnaishia kweny matangaz?
-
Naskiza online kutoka 254 nawakubali sana. top kabisa
-
Emerlad Emerlad
11.10.2020
all the way from mara TANZANIA
-
One way kutoka kigoma nawapata vzuri sana
-
Weken mambo sawa huk simiyu hatuwapati
-
Good but no voice
-
kigera suleiman
13.08.2020
Baadhi ya majina yaliopotea
-
Juma Makaranga
05.08.2020
Safi
-
i like it
-
Kelvin Pallangyo
14.07.2020
clouds my number one family❤💪
-
Nawapta vizuli xana
-
Best radio station in Tanzania
-
Super
-
justine mziwanda
09.06.2020
Arusha njiro contena nawapata murua kabisa
-
Nawapta vzri sana kutoka mbinga ruvuma
-
Wilfred Mmbaga
26.05.2020
kuna mambo yanayohitaji uvumilivu lakini sio mapenzi, tena yanauma kuliko hata maumivu ya sindano sindano, mke wa mtu ama mume wa mtu hana lebo inayomtambulisha chamsingi chunguza sana kabla hujaanzisha mahusianio mapya;
-
Marium Madaraka
20.05.2020
Clouds fm nawapata vyema kutokea rwanda nawapata vizuri power breakfast
-
Nawapata vizuri kabisa kutokea mkoa wa Lindi wilaya ya Kilwa Masoko. Mtandao umetulia
-
Kelvin Godlisten
01.05.2020
holaaah kutaka RWANDA ni kelvin nawapata fresh kabisa bila chenga online xxl mmetisha kinomanoma
-
France Nestory
29.04.2020
guda sana mazee
-
Masoud usikatae ulishawahi sema hivyo.. Kwamba hakuna Mwanamme mwenye mwanamke mmoja..
-
Ya kijanja zaid
-
Mmmh mm ndio naanza kipindi eti by TZB BOY
-
Charles Otunga
04.04.2020
Nawapata vizuri sana hapa Nairobi.Mie ni mwanahabari.Mnazungumzia jinsi waathiriwa wa virusi vya Korona wanavyonyanyapaliwa! Charles Otunga,KBC NRB.
-
Samuel Severua
03.04.2020
Nawapata kama fureeeeeeeeeee,
-
the peoples station
-
JACKSON MWAFUTE
11.02.2020
My all time favorite
-
Abubakar mfaume
10.02.2020
Nawapata nikitokea ghetto +27
-
Suleiman Mohamed
05.02.2020
I enjoy listening to Clouds FM. Keep it up
-
RUVUMA CLOUDS NI MDA SASA HAISIKIKI VIPI KUNA SHIDA GANI
-
Tumpale Luhanga
27.01.2020
Conveniently nasikiliza nikiwa kazini, night shift ndani ya Dar. Mko vizuri sana
-
Angelina Lusala
29.12.2019
Jamani clouds fm kuna nini mbona nje ya nji haipatikani hii sasa week nzima. Can anyone help??
-
Hildegarde Cyril
29.12.2019
Hello, huwasikiliza kila siku kutokea Sweden, leo hamko hewani tokea alfajiri why, redio zingine zote ziko hewani isipokuwa nyie, rekebisheni, siku hizi redio yenu haisikiki huku, rekebisheni, mbona zingine ziinasikika??